- Vitenzi vya Kiswahili huwa na tabia tofauti tofauti zinazotokana na dhima za mofimu ambazo hupachikwa katika vitenzi hivyo, hivyo kulingana na dhima za mofimu, vitenzi vya Kiswahili huwa na tabia zifuatazo:-
II. Kutambulisha tendo. Mfano:- Cheza, Lima, Imba n.k.
III. Kutambulisha wakati. Mfano:- Ulikuja
IV. Kutambulisha hali ya uyakinishi na ukanushi. Mfano:- Anacheka – Hacheki
V. Kutambulisha kauli mbalimbali za tendo. Mfano:- cheza-chezwa-chezewa-chezeka n.k.
VI. Kutambulisha hali za nakati katika tendo. Mfano:-Huimba, Amekula.
VII. Kuonesha urejeshi wa mtenda, mtendwa na mtendewa ambao hujidhihirisha katika ngeli ya nomino iliyotajwa kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi. Urejeshi huo ni wa O-rejeshi. Katika urejeshi huo vitenzi hubeba viambishi ngeli vya –O- isipokuwa kama nomino ni ya ngeli ya kwanza umoja ambapo hutumia –e- badala ya –O-.
Mfano:-
NGELI
|
KIAMBISHI
CHA O- REJESHI
|
MFANO
|
A-WA
|
-YE-
na –O-
|
Aliyepiga / Waliokuja
|
U-I
|
-O-
na –YO-
|
Uliokatwa / Iliyokatwa
|
LI-YA
|
-LO-
na –YO-
|
Lililochanika / Yaliyochanika
|
KI-VI
|
-CHO-
na –VYO-
|
Kilichovunjika / Vilivyovunjika
|
I-ZI
|
-YO-
na –ZO-
|
Iliyofungwa / Zilizofungwa
|
U-ZI
|
-O-
na -ZO
|
Uliokatika / Zilizokatika
|
U-YA
|
-O-
na –ZO-
|
Ulionipata / Yaliyonipata
|
KU
|
-KO-
|
Kulikotokea
|
PA-MU-KU
|
PO-MO-KO
|
Pale alipoingia / Mule alimotokea / Kule alikofunga
|
Sec
JibuFutaZipo vizuri sanaa, kazi nzuri hongera
JibuFutaSafi Sana inapendeza mno
JibuFutaSsantr
JibuFutaSsantr
JibuFutaNi zipi sifa bainifu za viambishi katika vitenzi?
JibuFutaIpo vizur
JibuFutaA
Safi sana
JibuFutaMungu akubariki sana
JibuFutani nzur
JibuFutani nzur mungu akuzidishie
JibuFutaNimekuelewa kaka sasa kazi za vitenzi ni zipi?
JibuFutaKaz nzuri
JibuFutaIko poa
JibuFutaKazi nzuri sana
JibuFuta0743771819
JibuFutaLinganisha na linganua tofauti kati ya nomino na vitenzi
JibuFuta